Luke 9:51-52

Yesu Akataliwa Samaria

51 aWakati ulipokaribia wa yeye kuchukuliwa mbinguni, alikaza uso wake kwenda Yerusalemu. 52 bAkatuma watu wamtangulie, nao wakaenda katika kijiji kimoja cha Samaria kumwandalia kila kitu;
Copyright information for SwhNEN